Makombora hatari ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mlipuko wake ni habari nyingine
Katika picha na video hiyo unaweza kuona jinsi kombora moja tu lilivyosambaratisha jengo zima na kila kitu kilichokuwepo kando yake. Israel imeanza yenye vita hii lakini kwa sasa nguvu zake zimeonekana kuwa zilikuwa nguvu za soda, kwa sasa anaiomba Marekani iweze kuingilia vita ili kumsaidia, kwake hali ni tete. Iran imetoa tahadhari mapema kwa walowezi wa kizayuni kutoka mara moja katika miji yote ya Israel, lasivyo wachague kuishi kwenye mashimo ya kujificha chini ya ardhi na kufia huko au kuuliwa na makombora ya Iran ambayo bado moto wake halisi hawajauona.
Your Comment